Shamsa amuoneaa wivu Odama


Shamsa amefunguka hayo na kusema anapenda jinsi muigizaji huyo anavyoweza kuweka mahusiano yake ya mapenzi kuwa faragha yake peke yake na kuongeza kuwa anatamani kama siku zingerudi nyuma asingethubutu kumuonyesha mpenzi wake hadharani bali mume wake wa ndoa.
"Napenda unavyoweka mahusiano yako ya mapenzi 'private'. Sijawahi ona hata siku moja umempost sijui boyfriend na hicho ndo kitu kizuri kwa mtoto wa kike. Mimi kwa upande wangu ningerudisha siku nyuma kipindi kile nipo single nisingempost au kumuweka wazi mwanaume yoyote niliyekuwa naye kipindi kile kwenye mahusiano. Natamani mume wangu ndio angekuwa mwanaume wa kwanza kwa watanzania kumjua" - Shamsa Ford alifunguka.

                                         Ujumbe wa Shamsa kwa Odama

Comments


Popular posts from this blog

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye ameitaka Serikali ya awamu ya tano kukivumilia

Mambo 10 ukiyazingatia wewe ni mke bora katika ndoa

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

CHADEMA yafunguka Hospitali aliolaza Tundu Lissu

Wasanii vinara kwa ushirikina watajwa

Emmanuel Mbasha, aweka wazi haya .

Tanzania inahifadhi wakimbizi wengi zaidi kutoka Burundi ukanda wa Afrika Mashariki

Aliyemuoa mwalimu wake ataka mahakama iwatenganishe bila sababu.

mimi nipo sex Lulu diva