MAPENZI: DALILI ZA AJABU ZA MWANAUME KUWA NI SHOGA….


Siku hizi wanaume wengi wamekuwa na tabia mbaya za ushoga ..wengine wanaonyesha live wengine wanajificha ficha ila kuna dalili unaweza kujua kuwa ana tabia hizi ,,,Hizi ni Baadhi tu ukiona mvulana ana tabia hizi basi anza kumchunguza vizuri inawezekana kabisa kuwa si ridhiki…
1. Kutia kalikiti kichwani
2. Kujichubua
3. Kutinda nyusi/kujiangalia sana kwenye kioo
4. Kutoboa pua/sikio
5. Kupaka lip shine
6. Kuvaa nguo za kuacha mattako nje
7.Umbea
8.Kupigana vijembe
9.Kupenda taarabu
10. Kurembua macho/Kulegeza sauti
11.Endeleza

Comments


Popular posts from this blog

Silole aweka wazi mambo

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye ameitaka Serikali ya awamu ya tano kukivumilia

MBUNGE wa Nzega Mjini, Hussein Bashe ajitolea kwa wazee

WANAWAKE WEUSI WENYE NGUVU YA PESA DUNIANI.

Ujumbe wa Idris Sultan kwa Zari

wanafunzi 10 wafutiwa matokeo kidato cha sita kwa udanganyifu