Mwigulu Nchemba Wasiojulikana dakika zao zinahesabika

Baada ya kuibuka matukio mbalimbali ya uhalifu nchini na baadhi ya watu kushambuliwa kwa risasi akiwemo Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu na taarifa zikidai wahalifu hao hawajulikani, Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amesema watu hao dakika zao zinahesabika.
Waziri Nchemba akiwa Singida amesema kuwa Serikali imejipanga kuhakikisha ilinda usalama wa Wananchi na kuwa wahalifu wanaotekeleza matukio hayo wameshindwa tayari.

Comments


Popular posts from this blog

DROO YA KLABU BINGWA ULAYA HII HAPA

Nyumba ya Mbunge Kigoma Mjini Zitto Kabwe yaungua moto

Wanawake wasiowaita waume kwa majina yao India

Cristiano Ronaldo kawaonesha watoto wake mapacha leo

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO

Baada ya Kifo cha Mumewe… Zari Akwaa Aibu 5 #Tazama

hali ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu

Emmanuel Mbasha, aweka wazi haya .