Real madrid mabingwa tena UEFA


 Klabu ya Real Madrid yanyakua kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuinyuka Juventus kwa mabao 4 kwa 1.

- Inakuwa klabu ya kwanza kufanya hivyo, huku Kocha Zidane akiweka rekodi ya kuingoza klabu hiyo kushinda Mara 2 mfululizo.

- Cristiano Ronaldo aibuka mfungaji bora wa michuano baada ya kufunga magoli 12

Comments


Popular posts from this blog

Uchumi wa taifa la Korea Kaskazini waimarika

harakati za ndesamburo na utajiri wake hizihapa

ACACIA wapinga vikali matokeo ya kamati ya pili ya Rais

IsraelIsrael yasalimu

mimi nipo sex Lulu diva

Rais Zuma akiri kunusurika kuuawa kwa sumu

Hatua 10 Muhimi za Kumchagua Mchumba Mtakae Funga Ndo. a tzaama SOMA NA SHARE HII

Watu kumi na mmoja wauawa katika shambulio