Ndoa haijanipoteza - Amini



Amini amebainisha hayo baada ya maswali mengi ya mashabiki zake kutaka kujua ni jambo gani ambalo limemsibu mpaka kupotea katika 'game' ya muziki kwa kipindi kirefu.
"Kuwa kimya kwangu siyo kwa sababu ya kuoa ila mimi napenda kuandaa vitu vizuri vingi ili ninavyoanza kutoa nyimbo inakuwa 'non stop. Sikuwa na nia ya kusuka albamu, nilikuwa naandaa 'single' kwa ajili ya kwenda kutikisa ulimwengu" -alisema Amini.
Pamoja na hayo, Amini amesema mpaka sasa ameshamaliza kutengeneza ngoma kumi ambazo anategemea kuzidondosha wakati wowote kutoka sasa.a haijanipoteza - Amini
Amini
Amini amebainisha hayo baada ya maswali mengi ya mashabiki zake kutaka kujua ni jambo gani ambalo limemsibu mpaka kupotea katika 'game' ya muziki kwa kipindi kirefu.
"Kuwa kimya kwangu siyo kwa sababu ya kuoa ila mimi napenda kuandaa vitu vizuri vingi ili ninavyoanza kutoa nyimbo inakuwa 'non stop. Sikuwa na nia ya kusuka albamu, nilikuwa naandaa 'single' kwa ajili ya kwenda kutikisa ulimwengu" -alisema Amini.
Pamoja na hayo, Amini amesema mpaka sasa ameshamaliza kutengeneza ngoma kumi ambazo anategemea kuzidondosha wakati wowote kutoka sasa.

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC