Ndoa haijanipoteza - Amini



Amini amebainisha hayo baada ya maswali mengi ya mashabiki zake kutaka kujua ni jambo gani ambalo limemsibu mpaka kupotea katika 'game' ya muziki kwa kipindi kirefu.
"Kuwa kimya kwangu siyo kwa sababu ya kuoa ila mimi napenda kuandaa vitu vizuri vingi ili ninavyoanza kutoa nyimbo inakuwa 'non stop. Sikuwa na nia ya kusuka albamu, nilikuwa naandaa 'single' kwa ajili ya kwenda kutikisa ulimwengu" -alisema Amini.
Pamoja na hayo, Amini amesema mpaka sasa ameshamaliza kutengeneza ngoma kumi ambazo anategemea kuzidondosha wakati wowote kutoka sasa.a haijanipoteza - Amini
Amini
Amini amebainisha hayo baada ya maswali mengi ya mashabiki zake kutaka kujua ni jambo gani ambalo limemsibu mpaka kupotea katika 'game' ya muziki kwa kipindi kirefu.
"Kuwa kimya kwangu siyo kwa sababu ya kuoa ila mimi napenda kuandaa vitu vizuri vingi ili ninavyoanza kutoa nyimbo inakuwa 'non stop. Sikuwa na nia ya kusuka albamu, nilikuwa naandaa 'single' kwa ajili ya kwenda kutikisa ulimwengu" -alisema Amini.
Pamoja na hayo, Amini amesema mpaka sasa ameshamaliza kutengeneza ngoma kumi ambazo anategemea kuzidondosha wakati wowote kutoka sasa.

Comments


Popular posts from this blog

Afariki kwakuchomwa na kisu

Prof. Maghembe atoa neno kwa wavamizi wa misitu.

Wabunge wanamna hii kufukuza ccm

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Mtanzania aliyekataa mshahara wa Tsh. milioni 425 Marekani amerejea nyumbani

Barcelona sasa yawa moto baada ya hili

Mwanamke yeyote nampenda, awe mweusi, mweupe, mwembamba au unene – Timbulo

Mtandao wa biashara ya ngono wavunjwa

Kenyata sina matakwa yoyote kutoka IEBC

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima