Wakili anayemtetea Mwanafunzi Abdul Nondo ameyasema haya

Wakili anayemtetea Mwanafunzi Abdul Nondo, ambaye Jeshi la Polisi linamshikilia kwa upelelezi kufuatia madai ya kutekwa, amesema mpaka sasa yeye na wenzake wamefanya kila jitihada za kumuona mteja wao pasipo mafanikio.
"Kwa jitihada nilizofanya mpk sasa kumuona Abdul Nondo hazijazaa matunda. Hayupo vituo vikuu vyote, tukutane HC kupitia Habeus Corpus watamleta wenyewe!" amesema Wakili Jebra Kambone.
Kauli hii ameitoa kufuatia Kamanda Mambosasa kusema taarifa za Wakili huyo kuwa amezuiwa kumuona kijana huyo ni za uongo.

Comments

Anonymous said…
LuckyClub Live Casino site - LuckyClub Live Casino
LuckyClub Live Casino · Deposit £20 Get £50 · Enter the code PLAY2025 · Play 30+ games · Deposit £10 or luckyclub more · T&C's Apply · Make your first

Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC