Wakili anayemtetea Mwanafunzi Abdul Nondo ameyasema haya

Wakili anayemtetea Mwanafunzi Abdul Nondo, ambaye Jeshi la Polisi linamshikilia kwa upelelezi kufuatia madai ya kutekwa, amesema mpaka sasa yeye na wenzake wamefanya kila jitihada za kumuona mteja wao pasipo mafanikio.
"Kwa jitihada nilizofanya mpk sasa kumuona Abdul Nondo hazijazaa matunda. Hayupo vituo vikuu vyote, tukutane HC kupitia Habeus Corpus watamleta wenyewe!" amesema Wakili Jebra Kambone.
Kauli hii ameitoa kufuatia Kamanda Mambosasa kusema taarifa za Wakili huyo kuwa amezuiwa kumuona kijana huyo ni za uongo.

Comments

Anonymous said…
LuckyClub Live Casino site - LuckyClub Live Casino
LuckyClub Live Casino · Deposit £20 Get £50 · Enter the code PLAY2025 · Play 30+ games · Deposit £10 or luckyclub more · T&C's Apply · Make your first

Popular posts from this blog

Tanzia: Mwanamuziki Shaban Dede afariki dunia

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

SUGU;:Tundu lissu ameniagiza niwaambie haya

Linah aamuakuwamuwazi kuusu kujifungua kwake

utambulisho wa Dani alves PSG

MAPENZI: DALILI ZA AJABU ZA MWANAUME KUWA NI SHOGA….

Man United kusajili nyota wapya watatu au wanne .

Kasi ya Rais Magufuli kama mtego wa panya kwa Takukuru