Wakili anayemtetea Mwanafunzi Abdul Nondo ameyasema haya

Wakili anayemtetea Mwanafunzi Abdul Nondo, ambaye Jeshi la Polisi linamshikilia kwa upelelezi kufuatia madai ya kutekwa, amesema mpaka sasa yeye na wenzake wamefanya kila jitihada za kumuona mteja wao pasipo mafanikio.
"Kwa jitihada nilizofanya mpk sasa kumuona Abdul Nondo hazijazaa matunda. Hayupo vituo vikuu vyote, tukutane HC kupitia Habeus Corpus watamleta wenyewe!" amesema Wakili Jebra Kambone.
Kauli hii ameitoa kufuatia Kamanda Mambosasa kusema taarifa za Wakili huyo kuwa amezuiwa kumuona kijana huyo ni za uongo.

Comments

Anonymous said…
LuckyClub Live Casino site - LuckyClub Live Casino
LuckyClub Live Casino · Deposit £20 Get £50 · Enter the code PLAY2025 · Play 30+ games · Deposit £10 or luckyclub more · T&C's Apply · Make your first

Popular posts from this blog

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye ameitaka Serikali ya awamu ya tano kukivumilia

Mambo 10 ukiyazingatia wewe ni mke bora katika ndoa

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

CHADEMA yafunguka Hospitali aliolaza Tundu Lissu

Wasanii vinara kwa ushirikina watajwa

Emmanuel Mbasha, aweka wazi haya .

Tanzania inahifadhi wakimbizi wengi zaidi kutoka Burundi ukanda wa Afrika Mashariki

Aliyemuoa mwalimu wake ataka mahakama iwatenganishe bila sababu.

mimi nipo sex Lulu diva

Shamsa amuoneaa wivu Odama