UEFA kuendelea kutimuavumbi hii leo

Michuano ya klabu bingwa Ulaya hatua ya makundi inatarajiwa kuendelea kutimua vumbi usiku wa leo huku michezo minane ikipigwa katika viwanja mbalimbali.
Katika michezo ya kundi H Borussia Dortmund watawakaribisha mabingwa watetezi wa kombe la klabu bingwa barani Ulaya Real Madrid katika uwanja wa Signal-Iduna-Park huko Urarumani wakati Apoel Nicosia ikicheza dhidi ya Tottenham.
Kundi E – Sevila inacheza na Maribor, Spartak Moscow dhidi ya Liverpool, Kundi F – Manchester city inacheza na Shakhtar Donetsk, Napoli inacheza na Feyenoord na Kundi G- Besiktas inacheza na Rasen Ballsport , Monaco dhidi ya FC Porto.

Comments


Popular posts from this blog

wananchi wamshtaki polisi kwakuwanyanyasa

sharti la polepole lapata upinzani

KENYA:Tume Huru ya Uchaguzi yaridhia maombi ya upinzani

Angelina Jolie kuonekana kwenye jarida la ‘Vanity Fair’.

Afisa wa serikali ajinyonga

Viongozi wa G7 waangazia bara la Afrika

YANGA YASHUSHA STRAIKA WA AFCON