UEFA kuendelea kutimuavumbi hii leo
Michuano ya klabu bingwa Ulaya hatua ya makundi inatarajiwa kuendelea kutimua vumbi usiku wa leo huku michezo minane ikipigwa katika viwanja mbalimbali.
Katika michezo ya kundi H Borussia Dortmund watawakaribisha mabingwa watetezi wa kombe la klabu bingwa barani Ulaya Real Madrid katika uwanja wa Signal-Iduna-Park huko Urarumani wakati Apoel Nicosia ikicheza dhidi ya Tottenham.
Kundi E – Sevila inacheza na Maribor, Spartak Moscow dhidi ya Liverpool, Kundi F – Manchester city inacheza na Shakhtar Donetsk, Napoli inacheza na Feyenoord na Kundi G- Besiktas inacheza na Rasen Ballsport , Monaco dhidi ya FC Porto.
Katika michezo ya kundi H Borussia Dortmund watawakaribisha mabingwa watetezi wa kombe la klabu bingwa barani Ulaya Real Madrid katika uwanja wa Signal-Iduna-Park huko Urarumani wakati Apoel Nicosia ikicheza dhidi ya Tottenham.
Kundi E – Sevila inacheza na Maribor, Spartak Moscow dhidi ya Liverpool, Kundi F – Manchester city inacheza na Shakhtar Donetsk, Napoli inacheza na Feyenoord na Kundi G- Besiktas inacheza na Rasen Ballsport , Monaco dhidi ya FC Porto.

Comments