CHADEMA waitikia wito polisi

Kwa mujibu wa habari iliyotolewa na CHADEMA imesema kuwa viongozi ambao wamefika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi ni pamoja na Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Vicent Mashinji
"Katibu Mkuu wa Chama Dkt. Vincent Mashinji, akiambatana na wasaidizi wake kutoka Makao Makuu ya Chama, mchana huu, amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, jijini Dar es Salaam, kuitikia wito wa Jeshi la Polisi uliotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, kuwa anatakiwa kufika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI)" ilisema taarifa ya CHADEMA.

Comments


Popular posts from this blog

mimi nipo sex Lulu diva

Mabodi aitaka CCM iendelee kufanya sera za ushindani wa maendeleo 

BREAKINGNEWS serikali yamjibu tundulisu

Lipumba awa mpole kwa maalimseif

Spika wa Bunge ajiuzulu

Gabo amkana Wema Sepetu

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO

Chanzo chakutokuelewana Diamond na Ali Kiba hiki hapa