BREAKINGNEWS serikali yamjibu tundulisu


Serikali imewataka wananchi kupuuza uvumi ulianzishwa na wanasiasa juu ya ndege za Bombadier na kusema kuwa wawe watulivu ndege ya tatu ipo na inakuja nchini hivyo waendelee kuiamini serikali yao.

Hayo yamesemwa na Ndg. Zamaradi Kawawa  Kaimu Mkurugenzi mkuu idara ya habari

"Kuhusiana na mgogoro wa ununuzi wa ndege hatua za Kidiplomasia na sheria zimeanza kuchukuliwa ili kumaliza jambo hili"

-

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO

KENYA :Caroline Odinga akutwa amekufa

mimi nipo sex Lulu diva

mchezaji afariki uwanjani

Mambo 10 ukiyazingatia wewe ni mke bora katika ndoa

Gabo amkana Wema Sepetu

Mabodi aitaka CCM iendelee kufanya sera za ushindani wa maendeleo 