BREAKINGNEWS serikali yamjibu tundulisu


Serikali imewataka wananchi kupuuza uvumi ulianzishwa na wanasiasa juu ya ndege za Bombadier na kusema kuwa wawe watulivu ndege ya tatu ipo na inakuja nchini hivyo waendelee kuiamini serikali yao.

Hayo yamesemwa na Ndg. Zamaradi Kawawa  Kaimu Mkurugenzi mkuu idara ya habari

"Kuhusiana na mgogoro wa ununuzi wa ndege hatua za Kidiplomasia na sheria zimeanza kuchukuliwa ili kumaliza jambo hili"

-

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC