Mwanamke mmoja nchini Kenya aingia mtaani kusaka mume huku akiwa amebeba bango
Mwanamke mmoja nchini Kenya ameamua kuingia mtaani kusaka mume huku akiwa amebeba bango katikati ya jiji la Nairobi. Akiwa amevalia nguo nyeupe- kama ya harusi- mwanamke huyu mwenye umri wa miaka 28, Pris Nyabura, amebeba bango linalosema: “Nahitaji mume, nina mtoto wa kike wa miaka saba.”
Mwandishi amejaribu kumpigia simu ili kupata taarifa zaidi, lakini simu yake iko “bize”….
Mwandishi amejaribu kumpigia simu ili kupata taarifa zaidi, lakini simu yake iko “bize”….

Comments