MASHABIKI WAKERWA NA POST ZA DIAMOND KWENYE MSIBA WA IVAN SSEMWANGA


Baadhi ya Mashabiki wa Zari The Boss Lady waonyeshwa kukerwa na kitendo cha mpenzi wake Zari, Diamond Platnumz kupost picha mbalimbali za Media Tour na akiwa stejini nchini Kenya wakati waubavu wake Zari akiwa kwenye kipindi Kigumu cha Msiba Wa Mzazi mwenzake aliyefariki wiki iliyopita Nchini Afrika Kusuni.
“Rafiki mzuri ni yule anayekupa ushauri mzuri ,,, stop to post these images on media in one month period or more, maana umezifungulia kana kwamba unafurahia badala ya kuomboleza ” pole_zari_ze_boss_lady_ alichangia maneno haya katika moja ya picha ambazo ziliwekwa na Zari Kitika Ukurasa wake wa Instragram
Tazama Picha post sita za juu zilizo kwenye ukurasa wa instagram wa Diamond Platnumz

Comments


Popular posts from this blog

DROO YA KLABU BINGWA ULAYA HII HAPA

Nyumba ya Mbunge Kigoma Mjini Zitto Kabwe yaungua moto

Cristiano Ronaldo kawaonesha watoto wake mapacha leo

Baada ya Kifo cha Mumewe… Zari Akwaa Aibu 5 #Tazama

hali ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu

Wapiga dili wa madini sasa kukiona

Irine Uwoya: afunguka kuhusu ombi la Dogo Janja kummiliki

hii ndio furaha ya Diamond na zari