MASHABIKI WAKERWA NA POST ZA DIAMOND KWENYE MSIBA WA IVAN SSEMWANGA


Baadhi ya Mashabiki wa Zari The Boss Lady waonyeshwa kukerwa na kitendo cha mpenzi wake Zari, Diamond Platnumz kupost picha mbalimbali za Media Tour na akiwa stejini nchini Kenya wakati waubavu wake Zari akiwa kwenye kipindi Kigumu cha Msiba Wa Mzazi mwenzake aliyefariki wiki iliyopita Nchini Afrika Kusuni.
“Rafiki mzuri ni yule anayekupa ushauri mzuri ,,, stop to post these images on media in one month period or more, maana umezifungulia kana kwamba unafurahia badala ya kuomboleza ” pole_zari_ze_boss_lady_ alichangia maneno haya katika moja ya picha ambazo ziliwekwa na Zari Kitika Ukurasa wake wa Instragram
Tazama Picha post sita za juu zilizo kwenye ukurasa wa instagram wa Diamond Platnumz

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC