Hii ndiyo Nyumba aliyonunua Barack Obama



Rais mstaafu wa Marekani, Barack Obama amenunua nyumba ambayo kwa muda amekuwa akiishi pamoja na familia yake kwa kukodisha mjini Washington DC katika mtaa wa kifahari wa Kalorama.


Obama amenunua Nyumba hiyo yenye vyumba tisa ili kuendelea kukaa Washington na familia yake hadi binti yake mdogo, Sasha amalize masomo ya shule ya upili.

Comments


Popular posts from this blog

Nape Nnauye ameweka video ya Pius MsekwaMsekwa nakusema haya

ubingwa wa dunia mikononi mwa Hamilton

mimi nipo sex Lulu diva

Cristiano Ronaldo kawaonesha watoto wake mapacha leo

Mchawi wa Bongo Movie ni Sisi Wenyewe

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO

, Tundu Lissu akiwa sambamba na Dkt. HEllen Kijo-Bisimba

msuva ageuka lulu dau la usajili lapanda hadi........