Mwanamke yeyote nampenda, awe mweusi, mweupe, mwembamba au unene – Timbulo


Msanii wa Bongo Fleva, Timbulo amedai yeye anampenda mwanamke yeyote ila kuna wakati unafika anachanganyikiwa katika kuchagua.
Muimbaji huyo ameeleza kuchanganyikiwa huko kunakuja pale anapompenda wanamke mweusi lakini anapomuona mwanamke mweupe anakuwa anavutiwa nae zaidi.
“Nikawa najiuliza hii inakuaje haya nasema napenda mwanamke vimodo lakini nikiona mwanamke mwenye umbo kubwa nachanganyikiwa, baadaye nikaja kugundua mimi mjinga moyo wangu unanidanganya, kumbe natakiwa kupenda kile ambacho kitakuwepo kwa wakati uliopo,” amesema Timbulo.
Ameongeza, “Kwa hiyo mimi sijawahi kuwa na ‘choice’ kwamba napenda mwanamke wa hivi au hivi inategema na wakati tu siku zingine napenda mweusi, mweupe, mwembamba au unene” amesisitizaTimbulo

Comments


Popular posts from this blog

Afariki kwakuchomwa na kisu

Prof. Maghembe atoa neno kwa wavamizi wa misitu.

Wabunge wanamna hii kufukuza ccm

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Mtanzania aliyekataa mshahara wa Tsh. milioni 425 Marekani amerejea nyumbani

Barcelona sasa yawa moto baada ya hili

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima

BREAKING NEWS, TANGA polisi watumia mabomu kutawanya watu

Mbunge wa kigoma atafaute kazi nyingine