BREAKING NEWS, TANGA polisi watumia mabomu kutawanya watu


Madereva wote wa Hiace zinazofanya safari za Mjini kwenda Mikanjuni, Donge, Tanga Beach, Mwahako na Magomeni wameamua kugoma kutoa huda kwa kile wanachoita kunyanyaswa barabarani na kutozwa faini kwa uonevu pamoja na kusumbuliwa.
Madereva hao wameamua kusimamisha kila Hiace iliyobeba abiria na kuwaamuru kushuka ndani ya gari. Kama inavyoonekana kwenye picha baadhi ya wanafunzi wakijaribu kutafuta njia mbadala ili waweze kufika shuleni.
Habari zaidi nitwaletea kadri nitakavyo zipata.
Daladala za mkoani Tanga zimegoma kufanya shughuli za usafirishaji jijini hapo na kujikusanya sehemu ya Komesho(mabawa), barabara ya Pangani kutokana na malalamiko yao kibao kutosikilizwa na serikali!
Hivyo Jeshi la Polisi imebidi kutumia nguvu ya mabomu kuwatawanyisha eneo husika..

Najf

Comments


Popular posts from this blog

Afariki kwakuchomwa na kisu

Prof. Maghembe atoa neno kwa wavamizi wa misitu.

Wabunge wanamna hii kufukuza ccm

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Mtanzania aliyekataa mshahara wa Tsh. milioni 425 Marekani amerejea nyumbani

Barcelona sasa yawa moto baada ya hili

Mwanamke yeyote nampenda, awe mweusi, mweupe, mwembamba au unene – Timbulo

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima

Mbunge wa kigoma atafaute kazi nyingine