Raisi Magufuli azidi kugongelea msumari


Magufuli amesema hayo leo Machi 19, 2018 wakati akizungumza na wafanyabiashara na wawekezaji mbalimbali katika mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Kuna miradi tumeanza ambayo nafikiri inajenga uchumi wa nchi yetu, bomba la mafuta hili ambalo uwekezaji wake ni zaidi ya dolla bilioni tatu itazalisha ajira zaidi ya watu elfu 15 wale wengine ni wengi zaidi kina mama lishe na kadhalika ni nafasi yenu wafanyabiashara na wawekezaji mkatumia hiyo nafasi ili tusiwe wasindikizaji. Tukatumia faidi ya nchi yetu kuwa salama na amani na ile ilikuwa pointi kubwa sana kwamba Tanzania wala hakuna matatizo, wala hakuna maandamano wala nini jamani muje muwekeze huku na watu wamekuja hiyo kampuni ya Total inajenga bomba ambalo linapita kwenye wilaya zaidi ya 84 ile ni faidi kubwa kwa watu wanaoelewa hiyo ni nafasi kubwa"
alisema Magufuli

Comments


Popular posts from this blog

Afariki kwakuchomwa na kisu

Prof. Maghembe atoa neno kwa wavamizi wa misitu.

Wabunge wanamna hii kufukuza ccm

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Mtanzania aliyekataa mshahara wa Tsh. milioni 425 Marekani amerejea nyumbani

Barcelona sasa yawa moto baada ya hili

Mwanamke yeyote nampenda, awe mweusi, mweupe, mwembamba au unene – Timbulo

Mtandao wa biashara ya ngono wavunjwa

Kenyata sina matakwa yoyote kutoka IEBC

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima