Raisi Magufuli azidi kugongelea msumari


Magufuli amesema hayo leo Machi 19, 2018 wakati akizungumza na wafanyabiashara na wawekezaji mbalimbali katika mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Kuna miradi tumeanza ambayo nafikiri inajenga uchumi wa nchi yetu, bomba la mafuta hili ambalo uwekezaji wake ni zaidi ya dolla bilioni tatu itazalisha ajira zaidi ya watu elfu 15 wale wengine ni wengi zaidi kina mama lishe na kadhalika ni nafasi yenu wafanyabiashara na wawekezaji mkatumia hiyo nafasi ili tusiwe wasindikizaji. Tukatumia faidi ya nchi yetu kuwa salama na amani na ile ilikuwa pointi kubwa sana kwamba Tanzania wala hakuna matatizo, wala hakuna maandamano wala nini jamani muje muwekeze huku na watu wamekuja hiyo kampuni ya Total inajenga bomba ambalo linapita kwenye wilaya zaidi ya 84 ile ni faidi kubwa kwa watu wanaoelewa hiyo ni nafasi kubwa"
alisema Magufuli

Comments


Popular posts from this blog

DROO YA KLABU BINGWA ULAYA HII HAPA

Cristiano Ronaldo kawaonesha watoto wake mapacha leo

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO

Baada ya Kifo cha Mumewe… Zari Akwaa Aibu 5 #Tazama

Emmanuel Mbasha, aweka wazi haya .

Nyumba ya Mbunge Kigoma Mjini Zitto Kabwe yaungua moto

hii ndio furaha ya Diamond na zari

SI KWELI KUWA MAREHEMU FRANCIS KANYASU NDIYE ALIYEBUNI NEMBO YA TAIFA