LISSU, ZITTO, KIGWANGALLA, RIDHIWANI walipuka ripoti ya mchanga
LISSU, ZITTO, KIGWANGALLA, RIDHIWANI WALIPUKA RIPOTI YA MCHANGA
Baadhi ya wabunge wameibua hoja tofauti kwenye mitandao ya kijamii baada ya Rais John Magufuli kupokea ripoti ya mchanga wa madini Ikulu, leo.
Katika akaunti yake ya Twitter, Mbunge wa Singida Mashariki, #Tundu Lissu ameandika, “pongezi kwa kazi nzuri iliyofanywa na tume.”
Mbunge wa Kigoma Mjini, #Zitto Kabwe katika ukurasa wake wa Twitter ameandika, “utafiti unapingwa kwa utafiti. Kwa sasa Kamati ya Mruma Ndio rejea sahihi kwenye suala la mchanga na hivyo nakubali mapendekezo yaliyomo #Ridhiwani kikwete
Nimemsikiliza Mheshimiwa Raisi na kuendelea kuielewa Nia yake njema ya kuisaidia Nchi yake. Tuko pamoja na ninakuunga mkono
Baadhi ya wabunge wameibua hoja tofauti kwenye mitandao ya kijamii baada ya Rais John Magufuli kupokea ripoti ya mchanga wa madini Ikulu, leo.
Katika akaunti yake ya Twitter, Mbunge wa Singida Mashariki, #Tundu Lissu ameandika, “pongezi kwa kazi nzuri iliyofanywa na tume.”
Mbunge wa Kigoma Mjini, #Zitto Kabwe katika ukurasa wake wa Twitter ameandika, “utafiti unapingwa kwa utafiti. Kwa sasa Kamati ya Mruma Ndio rejea sahihi kwenye suala la mchanga na hivyo nakubali mapendekezo yaliyomo #Ridhiwani kikwete
Nimemsikiliza Mheshimiwa Raisi na kuendelea kuielewa Nia yake njema ya kuisaidia Nchi yake. Tuko pamoja na ninakuunga mkono

Comments