Lema afunguka haya kuhusu utekaji wa watoto


Mh. Lema amesema matukio hayo ni mabaya na kwamba yanaleta taharuki na huzuni kwa wazazi na walezi hivyo ni vyema polisi wakachukua hatua za haraka kuwabaini watu wanaotekeleza vitendo hivyo na kuvikomesha.
Mbunge huyo amesema watekaji hao mara baada ya kuwateka watoto wanadaiwa kutoa barua za madai ya fedha kwa kificho ili wawaachie watoto na kwamba, endapo madai yao hayatakelezwa hutishia kuwaua.
Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Olkerian, Daudi Safari, amesema wasiwasi umezikumba familia nyingi kufuatia matukio hayo hali iliyosababisha wazazi na walezi kushindwa kutekeleza majukumu yao mengine wakitumia muda mwingi kuwalinda watoto wao.
Mpaka sasa watoto wanaodaiwa kutekwa nyara ni Maurine David, Ikram Salim, Ayoub Fred Bakari Salim. Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha kuzungumzia matukio hayo zimegonga mwamba

Comments


Popular posts from this blog

Uchumi wa taifa la Korea Kaskazini waimarika

harakati za ndesamburo na utajiri wake hizihapa

ACACIA wapinga vikali matokeo ya kamati ya pili ya Rais

IsraelIsrael yasalimu

mimi nipo sex Lulu diva

Real madrid mabingwa tena UEFA

Rais Zuma akiri kunusurika kuuawa kwa sumu

Hatua 10 Muhimi za Kumchagua Mchumba Mtakae Funga Ndo. a tzaama SOMA NA SHARE HII

Watu kumi na mmoja wauawa katika shambulio