Wimbo ‘Seduce Me’ wa Alikiba umevunja hii rekodi

Staa Alikiba amekuwa miongoni mwa wasanii waliovunja rekodi ya kufikisha views Millioni Moja kwenye YouTube ndani muda mchache tu tangu kuachia video yake ya wimbo ‘Seduce me’.

Baada ya kuvunja rekodi hiyo Alikiba ametoa shukrani kwa mashabiki kupitia Instagram yake kwa kuandika>>> “Ahsanteni sana. Thank you for the love, I couldn’t be more blessed and favoured. You mean a lot to me and I do this for YOU. Nawapenda sana #RockstarTV #SHOOOOSH#SonyMusicAfrica #RockStar4000#KingKiba“

Comments


Popular posts from this blog

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima

Baada ya Kifo cha Mumewe… Zari Akwaa Aibu 5 #Tazama

Picha 10:madaraja makubwa na bora duniani

Wakili anayemtetea Mwanafunzi Abdul Nondo ameyasema haya

mimi nipo sex Lulu diva

Mchungaji Lusekelo ameandika ujumbe huo kwa jamii kuusu Tundulisu

Mara: Aua wawili nakujijeruhi