Bashe apingana na Msemaji wa Serikali

Hussein Bashe alitumia mtandao wake wa Twitter pia kujibu hoja juu ya kauli ya Msemaji wa Serikali na kusema kuwa neno 'Usalama wa Nchi' muda mwingine linatumika vibaya kwa ajili ya kulinda utashi wa watu waliopo madarakani.
"Usalama wa Nchi" muda mwingine neno hili hutumika vibaya kulinda Utashi wetu sisi watawala . Ni vizuri kuwapa watu nafasi ya kupumua" aliandika Hussein Bashe
Jana baadhi ya viongozi wa serikali walikutana na wadau mbalimbali ambao walikuwa wakitoa maoni yao ili kuboresha kanuni za maudhui ya Utangazaji na Mitandao ya Kijamii ambapo Katibu Mkuu Wizara Habari Prof. Elisante ole Gabriel alisema kuwa mitandao ya kijamii inatoa habari kwa haraka na kusema mfumo wa sasa wa mitandao ya kijami unachangia kutoa taarifa za uongo, chuki na hata kuhatarisha usalama wa nchi.

Comments


Popular posts from this blog

ILE SINTOFAHAMU YA NANI BINGWA WA VPL HII HAPA

Michezo:Ajibu huyo yanga

ELIZABETH MICHAEL ' LULU' awafungukia wasanii wa bongo move

KUTOKA IKULU:Rais Magufuli amefanya uteuzi mwingine leo julai 6 2017

fahamu kilichojiri nyumbani kwa Tundulisu