Hiki ndicho kilichomkuta Freeman Mbowe
Mkuu wa idara ya Uenezi CHADEMA, Hemedi Ali amefunguka na kusema gari ambayo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe alipewa na Bunge kwa ajili ya mizunguko mbalimbali ambayo pia ilikuwa akiitumia Nairobi kwenye matibabu ya Lissu imenyang'anywa na Bunge
Akiongea kutokea Nairobi, Hemedi Ali amesema kuwa haoni dhamira ya dhati ya Bunge hilo kusema lipo tayari kumtibu Tundu Lissu ikiwa wamepokonya gari ambayo Kiongozi wa Kambi rasmi Bungeni alikuwa akiitumia Nairobi kwenye matibabu ya Tundu Lissu.
Akiongea kutokea Nairobi, Hemedi Ali amesema kuwa haoni dhamira ya dhati ya Bunge hilo kusema lipo tayari kumtibu Tundu Lissu ikiwa wamepokonya gari ambayo Kiongozi wa Kambi rasmi Bungeni alikuwa akiitumia Nairobi kwenye matibabu ya Tundu Lissu.
Comments