Mara paa Barcelona kucheza Ligi Kuu England EPL

Uwezekano wa Barcelona kucheza Ligi Kuu England utaongezeaka iwapo mchakato wa kudai uhuru Catalan utapitishwa kesho kutwa Jumapili.
Barcelona ikijitoa tu Jimbo la Catalonia, kuhamia Ligi Kuu England
Wizara ya Michezo nchini Hispania imesisitiza kwamba klabu ya Barcelona itapoteza sifa ya kucheza Ligi Kuu ya nchini humo maarufu La Liga iwapo Jimbo la Catalonia litajitenga na kuwa nchi huru.
Uwezekano wa Barcelona kucheza Ligi Kuu England utaongezeaka iwapo mchakato wa kudai uhuru Catalan utapitishwa kesho kutwa Jumapili.
Waziri wa Michezo nchini humo alidokeza kuwa iwapo mabadiliko hayo yatapitishwa jambo hilo litakuwa halikwepeki.
Hata hivyo taarifa zaidi zinasema kwamba Serikali ya Hispania imetangaza kutoruhusu kupigwa kura hiyo ya mabadiliko, huku polisi ikidhibiti masanduku ya kura. Pia Waziri Mkuu wa nchi hiyo amesema kwamba hakuna mchakato wa mabadiliko utakaofanyika nchini humo.
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amekuwa miongoni mwa watu wanaounga mkono Jimbo la Catalonia kujitenga Hisapania.

Comments


Popular posts from this blog

Uchumi wa taifa la Korea Kaskazini waimarika

harakati za ndesamburo na utajiri wake hizihapa

ACACIA wapinga vikali matokeo ya kamati ya pili ya Rais

IsraelIsrael yasalimu

mimi nipo sex Lulu diva

Real madrid mabingwa tena UEFA

Rais Zuma akiri kunusurika kuuawa kwa sumu

Hatua 10 Muhimi za Kumchagua Mchumba Mtakae Funga Ndo. a tzaama SOMA NA SHARE HII

Watu kumi na mmoja wauawa katika shambulio