Mara paa Barcelona kucheza Ligi Kuu England EPL

Uwezekano wa Barcelona kucheza Ligi Kuu England utaongezeaka iwapo mchakato wa kudai uhuru Catalan utapitishwa kesho kutwa Jumapili.
Barcelona ikijitoa tu Jimbo la Catalonia, kuhamia Ligi Kuu England
Wizara ya Michezo nchini Hispania imesisitiza kwamba klabu ya Barcelona itapoteza sifa ya kucheza Ligi Kuu ya nchini humo maarufu La Liga iwapo Jimbo la Catalonia litajitenga na kuwa nchi huru.
Uwezekano wa Barcelona kucheza Ligi Kuu England utaongezeaka iwapo mchakato wa kudai uhuru Catalan utapitishwa kesho kutwa Jumapili.
Waziri wa Michezo nchini humo alidokeza kuwa iwapo mabadiliko hayo yatapitishwa jambo hilo litakuwa halikwepeki.
Hata hivyo taarifa zaidi zinasema kwamba Serikali ya Hispania imetangaza kutoruhusu kupigwa kura hiyo ya mabadiliko, huku polisi ikidhibiti masanduku ya kura. Pia Waziri Mkuu wa nchi hiyo amesema kwamba hakuna mchakato wa mabadiliko utakaofanyika nchini humo.
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amekuwa miongoni mwa watu wanaounga mkono Jimbo la Catalonia kujitenga Hisapania.

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC