Haji manara ameshindwa kuzuia hisia zake afunguka haya

Msemaji wa klabu ya Simba Haji manara ameshindwa kuzuia hisia zake baada ya timu ya Simba Jana kuondolewa katika mashindano ya shirikisho kwa kutoa droo ya 0-0.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Haji ameandika
Simba iliondolewa katika mashindano hayo Jana baada ya kutoa sare ya 2-2 nyumbani na kutoa sare
nyingine ya 0-0. ugenini huku watani zao Wao wakiondolewa katika mashindano ya klabu bingwa na kuingia katika mashindano ya kombe lala shirikisho ALICHO KISEMA HAJI MANARA BAADA YA SIMBA KUONDOLEWA KATIKA MASHINDANO YA KOMBE LA SHIRIKISHO
 Tumefanya tuliyojaaliwa lakini mpangaji wa kila kitu ni Manani...jitihada hazishindi kudra..tunarudi nyumbani tukiacha heshma kubwa ya klabu na nchi kwa ujumla Misri...sasa nguvu yetu ipo ktk VPL.....Asante kwa dua na Sala zenu..Bravo SSC 🙏🙏 #SimbaScNguvuMoja #ThisIsSimba 

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC