Haji manara ameshindwa kuzuia hisia zake afunguka haya
Msemaji wa klabu ya Simba Haji manara ameshindwa kuzuia hisia zake baada ya timu ya Simba Jana kuondolewa katika mashindano ya shirikisho kwa kutoa droo ya 0-0.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Haji ameandika
Simba iliondolewa katika mashindano hayo Jana baada ya kutoa sare ya 2-2 nyumbani na kutoa sarenyingine ya 0-0. ugenini huku watani zao Wao wakiondolewa katika mashindano ya klabu bingwa na kuingia katika mashindano ya kombe lala shirikisho ALICHO KISEMA HAJI MANARA BAADA YA SIMBA KUONDOLEWA KATIKA MASHINDANO YA KOMBE LA SHIRIKISHO
Tumefanya tuliyojaaliwa lakini mpangaji wa kila kitu ni Manani...jitihada hazishindi kudra..tunarudi nyumbani tukiacha heshma kubwa ya klabu na nchi kwa ujumla Misri...sasa nguvu yetu ipo ktk VPL.....Asante kwa dua na Sala zenu..Bravo SSC 🙏🙏 #SimbaScNguvuMoja #ThisIsSimba
Comments