messi aamua kutokuwa mbinafsi

'
'Nafikiri nimekua, kwasasa sichezi sana peke yangu japo nakimbia kwenye njia zangu lakini najitahidi kucheza na wenzangu, natamani timu icheze zaidi katika maeneo yote ndio mana nakuwa mchezeshaji mzuri'', amesema Messi kwenye mahojiano na Runinga moja.
Messi amekuwa na msimu mzuri ambapo hadi saa amefunga mabao 34 kwenye michuano yote msimu huu huku akifunga mabao matatu kwenye ushindi wa jumla ya mabao 4-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa UEFA hatua ya 16 bora wiki iliyopita.
Alipoulizwa kuhusu kumsaidia nyota mpya wa timu hiyo Ousmane Dembele Messi alijibu kuwa yeye anasaidia timu ambayo inawachezaji 10 na yeye wa 11 hivyo msaada wake unaweza kwenda kwa yoyote japo amekiri kufurahia namna ambavyo Dembele anajituma uwanjani.
Messi kesho atakuwa uwanjani kuiongoza timu yake kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Athletic Bilbao huku wakitaka kulinda tofauti ya alama 8 waliyonayo na timu ya Atletico Madrid inayoshika nafasi ya pili.

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC