Rais ajiuzulu

Gurib-Fakim ambaye alikuwa rais pekee mwanamke barani Afrika ameshutumiwa kwa kununua vitu binafsi vya kifahari vyenye thamani ya maelfu ya dola kwa kutumia kadi ya benki ya Taasisi ya Dunia yenye makao yake nchini Uingereza.
Gurib-Fakim alisema mapema wiki hii kwamba aliitumia kadi "bila kujua" lakini alikuwa amewarudishia fedha hizo.
Gurib-Fakim alichaguliwa kuwa rais mwaka 2015 na hapo awali alikuwa Profesa wa kemia katika kitivo cha sayansi cha Chuo Kikuu cha Mauritius.

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC