wasanii wa bongo wang,ara tuzo uganda

zimetolewa Tuzo za Hipipo ambazo zinatolewaga kila mwaka nchini humo na kwa usiku wa jana zilitolewa tuzo katika Ukumbi wa Serena Hotel iliyopo nchini  Uganda na Watanzania wanne ambao ni
Alikiba, 
Vanessa Mdee, 
Diamond na Darassa wameibuka washindi kwenye baadhi ya vipengele..
Alikiba ameibuka mshindi katika kipengele cha Wimbo bora wa mwaka Tanzania Seduce Me, Diamond ameshinda kipengele cha wimbo bora wa mwaka Afrika Marry You,
Vanessa ameshinda Msanii bora wa kike Africa Mashariki na Darassa ameshinda kipengele cha Wimbo ulio-hit Afrika Mashariki Muziki… (East Africa Super Hit)
Baadhi ya Vipengele hivyo….
AFRICA
Africa Song of the Year => Diamond Platnumz Ft. Ne-Yo –
Marry You
Africa Video of the Year => Mafikizolo – Love Potion
Best Francophone Africa Act => Toofan – Terre
Africa Best Female Artist => Tiwa Savage
Best Song from Western Africa => Davido – IF
Best Song from Southern => Africa Roberto – Into You
East Africa
Song of the Year => Kenya Nyashinski – Malaika
Song of the Year Tanzania => AliKiba – Seduce Me
Song of the Year Rwanda => Meddy – Slowly
Rwanda Video of the Year => Butera Knowless – Uzagaruke
East Africa Super Hit => Darassa Ft. Ben Pol – Muziki
East Africa Best Video => Diamond Platnumz – Eneka
East Africa Best Breakthrough Artist => Bruce Melodie
Best East African Collabo => Sheebah Ft. The Ben – Binkolera
East Africa Best Female Artist => Vanessa Mdee



Comments


Popular posts from this blog

Afariki kwakuchomwa na kisu

Prof. Maghembe atoa neno kwa wavamizi wa misitu.

Wabunge wanamna hii kufukuza ccm

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Mtanzania aliyekataa mshahara wa Tsh. milioni 425 Marekani amerejea nyumbani

Barcelona sasa yawa moto baada ya hili

Mwanamke yeyote nampenda, awe mweusi, mweupe, mwembamba au unene – Timbulo

Mtandao wa biashara ya ngono wavunjwa

Kenyata sina matakwa yoyote kutoka IEBC

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima