wema ashindwa kuzuia hisia zake ammwagia sifa Diamond

Wema amefunguka hayo, kufuatia Diamond kuachia ngoma mpya aliyomshirikisha msanii wa Marekani, Omario inayoitwa AFRICAN BEAUTY huku akimsifia namna wimbo huo ulivyo bora na jinsi alivyommezesha maneno ya Kiswalihi staa huyo wa Marekani.
Baadhi ya mashabiki wamedai huenda Queen huyo wa Bongo Movies anatengeneza mazingira ya kurudi rasmi kwa mpenzi wake huyo ambaye hivi karibuni ameachana na mama watoto wake, Zari The Bossy Lady kwa kile kilichodaiwa sababu kuwa Diamond amezaa na mwanamitindo Hamisa Mobeto.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wema ameandika ujumbe huu kwa Diamond;
All dat Said… Let’s get back to Reality…. Chibu, Unaweza…!!!Chibu, Unajua….!!! Keep Doin wat you do and Live Your Dream… Bonge moja la Track… Na Hongera kwa kummezesha Omarion Swahili… I can imagine kazi uliokuwa nayo… 😅… Salute kwako… . . . The Video be on Youtube Ladies & Gentlemen… I keep Repeating it wallahy… link on his Bio @diamondplatnumz @diamondplatnumz @diamondplatnumz @diamondplatnumz … . . . Picha twazitwanga Kisela, Post insta wanga kuwakera….😅😅😅 Tatizo wanga wa Insta hawakawii kukukera wewe… 😅😅😅 . . .

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC