Tamko la Kamati ya Chadema



Tumekuwa tunafanya uchumi wa matukio, kurukia rukia matukio Makinia limezikwa, tupo kweye Tegeta Escrow na IPTL  -

Kama wabunge wa pande zote mbili wangekuwa na msimamo hii bajeti ya serikali ya 2017/2018 isingepita

'Fedha zililizopelekwa kununua ndege zingepelekwa kwenye kilimo kuna Watanzania zaidi ya milioni 40 wangecheka' -

Kiwanda kilichokuwa kinazalisha ndara mwaka 1962 hakiwezi kuendelea kuzalisha ndara zile zile kwa dunia ya sasa -


Kilichofanywa kwenye makinia ni papara, wabunge CCM wakafanya papara hata Rais amefanya papara  na tumelishwa uongo- Mbowe

Deni la nje kwa sababu tumeshindwa kuzalisha ndani ili serikali ijiendeshe lazima tukope, hawa watu wanakopa mno

Sekta ya viwanda toka Magufuli ameingia madarakani vimekopa asilimia 0% kwa mujibu wa takwimu za BoT

'Hakuna mfanyabiashara duniani ambaye atapewa kitega uchumi kinachomuingizia faidi akakifunga'

'Viwanda vingi vilivyobinafsishwa vilikuwa vinaendeshwa kwa hasara, ni viwanda ambavyo vina teknolojia ya zamani' - Mbowe

Viwanda vingi vimefungwa kwa sababu ya kodi mbaya, kodi hazilipiki gharama za kufanya biashara nchi hii ni maumivu -

Viwanda vingi vimefungwa kwa sababu ya kodi mbaya, kodi hazilipiki gharama za kufanya biashara nchi hii ni maumivu -

Viongozi wetu wa Serikali walio wengi hawajui A, B, C za uchumi -

Wawekezaji wa ndani wamekuwa waoga kufanya uwekezaji ndani ya nchi kwa kuwa wanahofia kesho anaweza kuibuka mtu akasema vunja hapa -

Siku kadhaa kabla ya bajeti kupitishwa wabunge wa chama fulani walipewa milioni kumi kumi ili wapitishe bajeti - Mbowe

Comments


Popular posts from this blog

Afariki kwakuchomwa na kisu

Prof. Maghembe atoa neno kwa wavamizi wa misitu.

Wabunge wanamna hii kufukuza ccm

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Mtanzania aliyekataa mshahara wa Tsh. milioni 425 Marekani amerejea nyumbani

Barcelona sasa yawa moto baada ya hili

Mwanamke yeyote nampenda, awe mweusi, mweupe, mwembamba au unene – Timbulo

Mtandao wa biashara ya ngono wavunjwa

Kenyata sina matakwa yoyote kutoka IEBC

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima