Picha za Neymar zaanza kufutwa Barcelona

Neymar atabaki historia katika kikosi cha Barcelona, hii ni baada ya uongozi wa klabu hiyo kuanza kufuta baadhi ya picha zilizo kwenye mabango yake.
Barcelona imeanza kufanya hivyo katika mabango mbalimbali yaliyo na wachezaji wake ambayo yanamjumuisha Neymar.
Nyota wa Barcelona Neymar amepewa ruhusa ya kuondoka Barcelona akitarajiwa kujiunga na PSG katika kitita cha rekodi ya pauni milioni 198 ambazo pesa hizo itakuwa ni rekodi mpya ya usajili duniani.
 Hii ni kuonyesha kwamba kweli anakwenda PSG ya Ufaransa.

Comments


Popular posts from this blog

Operesheni vitabu kutinga mashuleni

Mambo 10 ukiyazingatia wewe ni mke bora katika ndoa

Hawa hapa huwenda waka chukuwa nafasi ya Profesa Sospeter Muhongo

Spika wa Bunge ajiuzulu

STAR "SNURA" AWAASA WASANII CHIPUKUZI KUEPUKA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA.

Picha 10:madaraja makubwa na bora duniani

Vanessa Mdee. afunguka

ubingwa wa dunia mikononi mwa Hamilton