MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

Watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi mkoani Mtwara kwa kosa la kumvamia na  kumshambulia kwa mapanga Hakimu wa Mahakama  ya wilaya ya Masasi Halfani Saidi Ulaya na kumsababishia kifo.

Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara Lukas Mkondya amesema hakimu huyo alivamiwa nyumbani kwake na watu watatu na kuanza kumshambua kwa mapanga sehemu za mikono na kichawani.

Hata hivyo Kamanda amesema baada ya kuhojiwa watuhumiwa hao wamekiri kushiriki tukio hilo la kumvamia Hakimu kwa lengo la kulipiza kisasi baada ya kuwahukumu wenzao kwenda jela kwa kosa la kufanya ujambazi na kuwaomba wananchi wa mkoa wa Mtwara kutoa ushirikiano kwa wahalifu wa aina.


  Na ITV

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC