MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi
Watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi mkoani Mtwara kwa kosa la kumvamia na kumshambulia kwa mapanga Hakimu wa Mahakama ya wilaya ya Masasi Halfani Saidi Ulaya na kumsababishia kifo.
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara Lukas Mkondya amesema hakimu huyo alivamiwa nyumbani kwake na watu watatu na kuanza kumshambua kwa mapanga sehemu za mikono na kichawani.
Hata hivyo Kamanda amesema baada ya kuhojiwa watuhumiwa hao wamekiri kushiriki tukio hilo la kumvamia Hakimu kwa lengo la kulipiza kisasi baada ya kuwahukumu wenzao kwenda jela kwa kosa la kufanya ujambazi na kuwaomba wananchi wa mkoa wa Mtwara kutoa ushirikiano kwa wahalifu wa aina.
Na ITV
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara Lukas Mkondya amesema hakimu huyo alivamiwa nyumbani kwake na watu watatu na kuanza kumshambua kwa mapanga sehemu za mikono na kichawani.
Hata hivyo Kamanda amesema baada ya kuhojiwa watuhumiwa hao wamekiri kushiriki tukio hilo la kumvamia Hakimu kwa lengo la kulipiza kisasi baada ya kuwahukumu wenzao kwenda jela kwa kosa la kufanya ujambazi na kuwaomba wananchi wa mkoa wa Mtwara kutoa ushirikiano kwa wahalifu wa aina.
Na ITV
Comments