maendeleo ya Tundu lissu mpaka sasa

Lissu anatibiwa jijini Nairobi nchini Kenya mara baada ya kushambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi na watu wasiojulikana, septemba 7 akiwa mkoani Dodoma akitoka kuhudhuria vikao vya Bunge.
Kwa sasa nipo Arusha, ila tangu nilipotoka hivi karibuni Nairobi alikuwa anaendelea vizuri na hali yake inazidi kuimarika na anaendelea na mazoezi kila siku, unajua chumba alichomo kwa sasa ni kikubwa, hivyo anafanya mazoezi humo humo,”amesema Mughwai
Aidha, tangu septemba 7, Lissu hakuwahi kuonekana hadharani hadi oktoba 18 zilipotolewa picha zake na kutumwa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akiwa amelala kitandani na zingine zikimuonyesha akiwa kwenye kiti cha magurudumu.

Hata hivyo, ameongeza kuwa kuhusu kutibiwa nchi za nje, amesema kuwa taarifa ataitoa pale muda utakapo wadia hivyo amewaomba Watanzania kuwa wavumilivu kwani taratibu zinafanyika.

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC