CCM CHADEMA wajibizana kwa maneno haya

Moja ya habari kubwa za Tanzania leo October 30 2017 ni kujiuzulu kwa Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu ambae pia ametangaza kujiuzulu nafasi zake zote ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM.
Baada ya kauli hiyo AzamTV imemuhoji Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM Humphrey Polepole ambae amesema “ Ni jambo la kawaida kabisa mtu ambae ameondoka anazo haki zote, wameondoka Wazito kwenye chama hiki na chama kimebaki kimoja kwahiyo huyu sio sehemu ya wazito, ni Mwananchi ambae ana haki ya kufanya hivyo “
Kwenye chama cha Mapinduzi kila kipindi ambacho tumekua tukifanya mageuzi makubwa ambayo yanatoa tafsiri pana ya kifikra na kuonyesha mwelekeo mpya, watu wengi huputika… nina uhakika wako kadhaa ambao wanashindwa kwenda na mwendokasi huu sasa kabla shoka halijawekwa shinani unakimbia mapema ” – Polepole
CHADEMA kwa upande wake kimesema “ Chama cha siasa ni watu na hakuna chama cha siasa ambacho kitasema hatutaki watu, tunampongeza sana kwa uamuzi wake huo na ni uamuzi wa kizalendo, muda muafaka ukifika tutampokea”

Comments

Anonymous said…
How to make money from gambling? - Worktomakemoney.com
How to make money from gambling? · หาเงินออนไลน์ Start with your first bet: kadangpintar · Place a bet on a live horse race · Place a bet in 바카라사이트 an online casino · Step-by-step guide on

Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC