Wsanii wanaowania MTV Europe Music Awards


MTV Europe Music Awards zimetangazwa na zitafanyika November 12 jijini London na baadhi ya wasanii kutokea Bara la Afrika kutajwa hususani Nigeria, South Africa , Angola na Kenya wametajwa kuwania tuzo hizo.
Wasanii wanaowania tuzo hiyo ya
Best African Act 2017 ni pamoja na
Davido na Wizkid wanaotokea
Nigeria, NastyC pamoja na Babes Wodumo kutokea South Arica ,
Nyashiski kutokea Kenya, C4 Pedro kutokea Angola, tuzo ya tuzo ya Best African Act 2016 alishinda Alikiba wa Tanzania.
Utambuzi wa muziki wao unaofanya vizuri Afrika na Duniani kwa ujumla umewapa jukwaa la kutambulishwa na kuwa miongoni mwa wanamuziki waliochaguliwa katika MTV European Music Awards 2017, kwa mwaka huku hakuna msanii wa Tanzania aliyetajwa.

Comments


Popular posts from this blog

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 27.08.2017

Maajabu ya pacha walioungana, wajikuta katika penzi moja .

Picha sita 6 mende wamaajabu duniani

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI 31.08.2017

TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao

MTWARA:watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi

MANARA AMKABIDHI JPM KIWANDA

Jux afunguka haya kuhusu vanessa mdee

Marekani yatishia vikwazo kwa yeyote atakaekwamisha uchaguzi DRC